kitazungumza kwa umma kupitia waandishi wa habari na kuwakaribisha wanachama wapya waliojiunga leo akiwemo msanii Wema Sepetu.
Mbowe na Lissu wanawasilisha hadi ya mashitaka iliyorekebishwa na kumuongeza Mwanasheria Mkuu. Wema Sepetu yupo Katikati ya Esther Bulaya na Mbowe.
Baada ya hapa Mbowe ataongea na Waandishi.
0 comments:
Post a Comment