Sunday, February 5, 2017

Ni ukweli usiopingika kuwa kwa sasa Harmorapa ameteka vichwa vya habari kuliko hata Harmonize ambaye ndiye mtu ambaye wamekuwa wakifananishwa naye.

Tunaweza kusema Harmorapa katumia Advantage ya kufanana na Harmonize ili na yeye ajulikane na kufanya kazi zake za kimuziki kiurahisi.
Anyway!! Tuachane na ishu za Harmorapa leo tena nimepata bahati ya kukutana na Kopi ya Hemedy PHD  na ishu kubwa ni kwamba jamaa kafanana nae kinoma na huyo jamaa Hemedyrapa,  na ivyoonesha ni mtu ambae anafahamiana na Hemedy. Anajulikana kwa jina la DJ Mario.
16110755_1070662323056757_2860319185433526272_n
DJ Mario & Hemedy PHD
Nimekuwa nikijiuliza!! hivi kuna umuhimu wa kutumia Advantage ya kufanana na Star fulani ili kukuza jina lako (Branding) hususani kwa wale wanao jihusisha na Sanaa au Michezo?
16122585_665949163578652_4081260542373658624_n
16123816_587023208174369_1282426803079610368_n

16464821_161517694347512_2263731052444909568_n

16123888_1237972666297231_7801474850966470656_n


0 comments:

Post a Comment