Ni ukweli usiopingika kuwa kwa sasa Harmorapa ameteka vichwa vya habari kuliko hata Harmonize ambaye ndiye mtu ambaye wamekuwa wakifananishwa naye.
Tunaweza kusema Harmorapa katumia Advantage ya kufanana na Harmonize ili na yeye ajulikane na kufanya kazi zake za kimuziki kiurahisi.
Anyway!! Tuachane na ishu za Harmorapa leo tena nimepata bahati ya kukutana na Kopi ya Hemedy PHD na ishu kubwa ni kwamba jamaa kafanana nae kinoma na huyo jamaa Hemedyrapa, na ivyoonesha ni mtu ambae anafahamiana na Hemedy. Anajulikana kwa jina la DJ Mario.
DJ Mario & Hemedy PHD
Nimekuwa nikijiuliza!! hivi kuna umuhimu wa kutumia Advantage ya kufanana na Star fulani ili kukuza jina lako (Branding) hususani kwa wale wanao jihusisha na Sanaa au Michezo?
0 comments:
Post a Comment