Wakili Alberto Msando ndiye aliyewatetea watuhumiwa wote bure hii leo baada ya kupandishwa mahakamani kisutu.
serikali iliomba hakimu atoe hukumu ya watuhumiwa woote kuchunguzwa kwa muda wa miaka mitatu pamoja na kuripoti polisi kwa mwezi mara mbili , lakini hukumu iliyotoka ni kwamba watuhumiwa watachunguzwa tabia zao kwa mwaka mmoja tu na kuripoti polisi na dhamana ya shilingi milioni 10 ambayo sio dhamana ya mali wala fedha isipokuwa ni wao kujidhamini wenyewe, na kesi zao zimekwisha .!!!
TAARIFA ZINASEMA WEMA SEPETU Bado ameendelea kushikiliwa na polisi........

0 comments:
Post a Comment