Saturday, February 11, 2017

Image may contain: 2 people, outdoorNi Mgogoro uliodumu kwa miaka 10 na kuzua misuguano YA viongozi na wananchi- Atangaza mpaka mpya baada YA Tume aliyoiunda kukamilisha kazi . Tume ikishirikisha watalaam wa ardhi, viongozi ,wazee na viongozi wa mila 
- Atangaza mpaka uliridhiwa na WANANCHI wakubali na kuhaidi kuheshimu mpaka huo na Mkuu wa Mkoa Atoa siku 7 kuweka mawe YA mipakaImage may contain: one or more people and outdoor
- Awaonya viongozi wa Vijiji waliogawa ardhi kinyume cha TARATIBU na kuwapatia wenye uwezo na kuwaacha wanyonge hawana ArdhiImage may contain: 4 people, people standing and outdoor
- Auunda kikosi kazi cha watalaam na vyombo vya dola kuhakiki ugawaji wa Ardhi ktk Vijiji 7 wilayani Mbarali endapo ugawaji wa Ardhi ulizingatia sheria YA Ardhi mwaka 1999Image may contain: 2 people, outdoor
- AHAIDI tume ikibaini ugawaji ardhi hakufuata UTARATIBU atairejesha ardhi yote KWA WANANCHI 
-

0 comments:

Post a Comment