Mwanamitindo Mwitaliano mwenye umri wa miaka 27, Glamorous Paola Saulino, aliyeahidi kushiriki ngono na watu 19.4 milioni amesema “amechoka” baada ya watu wa kwanza 400 – lakini ameapa kuendelea hadi angalau MILIONI MOJA.

Kumbuka kuwa Paola Saulino alikuwa amekiuka mageuzi ya kikatiba yaliyopendekezwa na Waziri Mkuu wa nchi yake Matteo Renzi katika uchaguzi wa kura ya maoni mnamo Novemba 2016.Hivyo basi alizindua kampeni ya kiajabu, akiahidi kufanya mapenzi na watu wote watakaopiga kura “NO” kwa mageuzi ya katiba. Hata hivyo matokeo yalipotokea, waliopiga kura “NO” waliibuka washindi kwa idadi ya zaidi ya 19 milioni.

Si wengi waliokuwa wakimtarajia kutimiza ahadi yake na idadi hiyo kubwa ya watu lakini mwanamitindo huyo wa Italy alifuatilia maneno yake. Alialika mara moja mawasilisho mtandaoni kwa “Ziara ya Pompa” ya kufanya mapenzi. Neno “Pompa” linamaanisha kitendo cha ngono kwa Kiitaliano anachowaalika waliopiga kura ‘No’ Wengi walifikiri hatatimiza ahadi zake lakini ameonyesha ni mwanamke anayeheshimu maneno yake.
Baada ya kutimiza ahadi yake kwa anachosema ni wanaume 400 kufikia sasa, Paola anasema amechoka. Hata hivyo, hapumziki wakati wowote hivi karibuni—lengo lake aliloratibisha sasa ni wanaume milioni moja. Anaongeza kuwa amekutana na wanaume wa kila aina, hata wengine wakiwa na aibu na kushindwa kutimiza mwito wake.
0 comments:
Post a Comment