Sunday, February 5, 2017

  
 HAKILA kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho wake, hatimaye mume wa ndoa wa nyota wa filamu Bongo, Kajala Masanja, Faraji Agustino yuko huru akidunda mtaani baada ya kutoka jela katika Magereza ya Keko jijini Dar na kusema ole wao waliokuwa wakichepuka na mkewe, Amani limenyetishwaKwa mujibu wa chanzo kimoja kutoka karibu na familia ya Faraji, alitoka jela siku kumi zilizopita baada ya kushinda rufaa ya kesi iliyokuwa ikimkabili ya kudaiwa kutakatisha fedha haramu na kuuza nyumba iliyokuwa kwenye zuio.


0 comments:

Post a Comment