Thursday, February 16, 2017

Mume wa zamani wa Mrembo Zari Hassan Anayeitwa Ivan Amenaswa Mtaani akigawa Pesa kwa watu wasiojiweza huko nchini Uganda....Inasemekana jamaa huyu anamkwaja wa kutosha mpaka hajui pa kuupeleka kiasi ambacho ameamua kuzigawa barabarani...


Tazama Video Hapa:


0 comments:

Post a Comment