Tuesday, February 7, 2017

Jokate Mwengelo, ‘Jojo’ ni moto wa kuotea mbali, tena sana. Na hasa pale anapopigia mtindo mkali wa nywele lazima awatoe udenda wanaume rijali.

Hivi karibuni aliamua kufanya kile staa wa Barbados, Rihanna alivyofanya kwa kuweka dreads ndefu kichwani, and guess what… mtoto Jojo alitokea chicha ile mbaya. Mtazame mrembo huyo kwenye picha zaidi hapo chini.
16464484_1849397575338024_6515179295965446144_n

16230783_1643686102592930_2878021623288430592_n

16465348_261657274272783_1380929794954231808_n


0 comments:

Post a Comment