Jokate Mwengelo, ‘Jojo’ ni moto wa kuotea mbali, tena sana. Na hasa pale anapopigia mtindo mkali wa nywele lazima awatoe udenda wanaume rijali.
Hivi karibuni aliamua kufanya kile staa wa Barbados, Rihanna alivyofanya kwa kuweka dreads ndefu kichwani, and guess what… mtoto Jojo alitokea chicha ile mbaya. Mtazame mrembo huyo kwenye picha zaidi hapo chini.
0 comments:
Post a Comment