Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram, Justin Bieber amerudi upya na jina lake lilelile la @justinbieber.

Ila Good Newz inaonekana ujio huu wa kurudi kwenye kurasa yake ya Instagram inaonyesha kwamba Bieber amepewa donge nono kutoka mtandao wa T Mobile ambao ameshindwa kuzuia unono huo.
0 comments:
Post a Comment