Sunday, February 5, 2017


Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram, Justin Bieber amerudi upya na jina lake lilelile la @justinbieber.

Ila Good Newz inaonekana ujio huu wa kurudi kwenye kurasa yake ya Instagram inaonyesha kwamba Bieber amepewa donge nono kutoka mtandao wa T Mobile ambao ameshindwa kuzuia unono huo.

0 comments:

Post a Comment