Posted by Williammalecela.com on Wednesday, February 15, 2017
 |
| Mama na ndugu wa Marehemu Julia Nyangoma, wakiwa Kanisani siku ya Mazishi huko New York City/USA. Julia alifariki wiki iliyopita huko huko New York, ambako amekuwa akiishi maisha yake yote. Mungu amuweke pema peponi. |
0 comments:
Post a Comment