Posted by Williammalecela.com on Sunday, February 05, 2017
Mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba usiku wa February 4 2017 alikuwa makao makuu ya nchi Dodoma kwa ajili ya kutoa burudani kwa Watu wake huku akisindikizwa na mdogo wake AbduKiba pamoja na band yake ya live…. Hii video hapa chini ina tukio zima:
0 comments:
Post a Comment