Afanya ziara Wilayani KYELA na mkutano wa hadhara kata YA NGANA kwa kuongea na wananchi wa Vijiji na kata zilizopo mpakani MWA Tanzania na Malawi
- Awataka wananchi KUFANYA BIASHARA za mipakani kwa kuzingatia sheria na taratibu zilizowekwa
- Asema serikali zote mbili zimeweka MIKAKATI YA kuwasaidia wananchi wa nchi mbili KUFANYA biashara vizuri 

- SERIKALI inakamilisha taratibu za kuanza ujenzi wa kituo cha pamoja cha Forodha( One stop boader post) KASUMULU ili kuondoa urasimu na kuongeza biashara
- Mkoa wa Mbeya unaandaa tamasha kubwa kwa ajili ya wafanyabiashara wa Tanzania na Malawi litakalofanyika 30 JUNI, 2017
0 comments:
Post a Comment