BARAZA la Sanaa Tanzania (BASATA) limeufungia wimbo mpya wa msanii mkali wa kuchana, Ney wa Mitego, unaoitwa
Mbali ya kuufungia wimbo huo pia Basata wamepiga marufuku kusambaza na kusikiliza nyimbo zote zilizofungiwa kuwa ni kosa kisheria.
Msanii huyo bado anashikiliwa na jeshi la polisi jijini Dar es Salaam kutokana na wimbo wake huo.
BASATA linawaasa wasanii kutunga nyimbo zenye maadili kwa jamii.

0 comments:
Post a Comment