Thursday, March 2, 2017

Mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa La Liga kati ya Barcelona na Sporting ambapo Barca wametoka na Ushindi wa goli 6-1 .Kocha mkuu wa timu ya Barcelona, Luis Enrique ametangaza kuwa huu ndiyo utakuwa msimu wake wa mwisho kuinoa miamba hiyo ya Hispania.

0 comments:

Post a Comment