Monday, March 13, 2017

Image may contain: 1 person, text
Gazeti la Tanzania Daima liliripoti juzi tarehe 9/3/2017 kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Paul Makonda, yupo Afrika Kusini kwa likizo ya Miezi miwili. Lakini leo Mkuu huyo wa Mkoa wa Dar amefungua rasmi Barabara mpya ya zege huko Bandarini Dar.
Image may contain: 3 people, people standing, people walking and outdoor

0 comments:

Post a Comment