Kvitova, 27, alivamiwa na mtu mmoja aliekuwa na kisu na kasha
akamshambulia akiwa Prostejov katika jamhuri ya watu wa Czech.
Madaktari wamesema kwamba mchezaji huyo ambae ni bingwa wa michuano ya
Wimbledon ya mwaka 2011 na mwaka 2014 Wimbledon anaweza akawa fiti ndani ya
miezi sita.
Akizungumza na wanahabari msemaji wake amesema Petra anaendelea vizuri
na anaamini kwamba atarejea tena viwanjani kwa wkati.
Amesema kwa sasa tayari Petra ameanza vema kuutumia mkono wake katika
shughuli zake za kila siku lakii hawezi kusema ni lini hasa atarejea tena
katika mchezo wa tennis.
0 comments:
Post a Comment