Monday, March 6, 2017


Leo nimepita Tandale, mateja wanamshukuru RC Makonda kwa kuuadimisha unga mtaani inawasadia. Ningekuwa JPM baada ya ukuu wa Mkoa ningempa Wizara ya Maliasili na Utalii, tembo wetu wangesalimika. BRAVO.

0 comments:

Post a Comment