Thursday, March 16, 2017

Meza Kuu ilivyoonekana
MARAIS wastaafu, Mzee Mwinyi, Mkapa na Kikwete waongoza kutoa heshima zao za mwisho Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar wakati wa kuuaga mwili wa George Kahama.

Baadhi ya waombolezaji wakiwemo watumishi wa serikali na viongozi mbalimbali walihudhuria
Waziri Mkuu wa Zamani Edward Lowassa akizungumza jambo na mkewe ukumbini hapo
Spika wa Bunge la Serikali ya Awamu ya Nne Anne Makinda wapili kulia akizungumza jambo na muombolezaji.

 

Picha ya Marehemu enzi za Uhai wake

0 comments:

Post a Comment