Thursday, March 16, 2017

Baada ya mwanasheria wa Trump, Michael Cohen kufunguka kuhusu video ya Snoop Dogg kumlenga vibaya Donald Trump Huku akimtaka kwamba aombe msamaha kwa Trump, Haya sasa Donald Trump ameamua kujibu mashambulizi.

Cover
Hakuna asiyejua kwamba ukija katika upande wa kurasa ya Twitter, Trump ndio mahala pake ambapo hujiachiaga, Ila this ameamua kufunguka juu ya video ya Snoop Dogg kwa kitendo alichokifanya cha kuonyesha pisto usoni mwa mfano wa Donald Trump.
Can you imagine what the outcry would be if @SnoopDogg, failing career and all, had aimed and fired the gun at President Obama? Jail time!


0 comments:

Post a Comment