Posted by Williammalecela.com on Monday, March 06, 2017
 |
LIVE
STRAIGHT TALK:- Morning Guys hahahahaha the ART OF MY AGE
.....hahaha
unajua nilifundishwa kwenye Bible School USA kwamba Shetani ndiye Baba
wa Maovu yote Duniani na ndiye Baba wa FALSE ACCUSATIONS na siku zote
nia yake ni ....CHARACTER ASSASSINATION ....hahahaha na kwamba ukiwa na
AKILI KUBWAZZ like me ni vigumu sana Shetani kujua MAPUNGUFU yako na
moja ya nia na madhumuni ya Shetani ni kuwaaminisha binadam kwamba wote
ni wapungufu kama yeye Shetani so hakuna lolote zuri
tunaloweza kulifanya kuuona Ufalme wa Mungu ...kumbe ukiishi sawa sawa
na Mungu Ufalme wake utaanza kuuona hapa hapa Duniani kabla hata ya
kufika Mbinguni na ni sababu moja tu muhimu kwamba
UTAKUWA NA AMANI YA
MOYONI kama mimi na ukiwa nayo automatically unakuwa kama mimi HAPPY
PERSON ...now Shetani hapendi so huwatumia binadam MBURULAZZZ WITH ZERO
BRAIN kujaribu kukuharibia amani yako ....now kuna ishu moja nawaona
maajenti wa Shetani wanahangaika nayo sana na mimi ya kuhusu MY AGE
hahahha anajaribu kuifanya ishu ya kunivurugia Amani yangu lakini always
anapiga ukuta hahahaha
....ok guys wale Le Mburulazzz please
kubalianeni basi kuhusu Umri wangu cause mimi sina tatizo kukubali umri
wowote mnautaka niwe nao ...maana it is too much hebu kubalianeni nina
umri gani? ..kati ya Miaka 50, 54, 55, 56, 60, au 70 ila tu mimi binafsi
naomba kusema nina Miaka 70.... hahahahaa ...naomba kuwaambia wale wote
mnaotumiwa na Shetani na hii ishu kwamba it is nothing to me cause I am
having Super Fun of my Life ....nasikia my exwife aliwapeni so called
"COPY OF MY PASSPORT" hahahaha.... lakini bado mnahangaika na Umri wangu
hahahaha please nina umri wa Miaka 70 I work hard for my life and I pay
for my life and I am having Super Fun of my life mengine sio muhimu
....like now ni matayarisho ya Safari ya Dodoma, South Africa then China
so chagueni umri wangu please! ...mniache niendelee na my life
hahahahaa LOV U GUYS! - le Mutuz Nation |
0 comments:
Post a Comment