Sunday, March 12, 2017

Said Arfi
DODOMA: Katika mkutano mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), amepokelewa Moses Machali Mbunge wa zamani wa Kasulu Mjini kwa Tiketi ya NCCR- Mageuzi.
Moses Machali
Aidha Said Arfi naye ametangaza kujiunga na CCM na wamepokelewa leo rasmi katika mkutano uliyofanyika mjini Dodoma.
VIDEO MKUTANO MKUU WA CCM NEC DODOMA
CHANZO NA GPL

0 comments:

Post a Comment