Thursday, March 30, 2017

Image may contain: one or more people and people sitting
Image may contain: one or more people and people sitting

Mkuu wa Mkoa wa Dar Mh. Makonda akitangaza ziara ya Waziri Mkuu wa Ethiopia nchini ambapo atatembelea Mkoa wa Dar na hasa Bandarini. Makonda amezungumza na Waandishi hao wa habari mjini Dodoma kinyume ya uamuzi wa Waandishi nchini kususia habari zake.

0 comments:

Post a Comment