Wednesday, April 5, 2017

Benon Karebere mwenye umri wa miaka 40, ameibuka na kudai ni mtoto wa Rais wa Uganda Yoweli Museveni.
Karebere anasema amechoka kukaa na siri hiyo kwa muda mrefu, hivyo sasa anataka familia ya rais huyo wamtambue kama mmoja wa wanafamilia.

0 comments:

Post a Comment