Wednesday, April 5, 2017

 Wadau  wa Elimu  wapongeza  na wamekujitokeza kwa Wingi 
 Kongamano labainisha changamoto  za elimu  na mikakati  ya kukabiliana   Na changamoto zatajwa
- Lengo la KONGAMANO  ni  kuongeza  ufaulu  na elimu  bora  ktk Elimu YA msingi na sekondari

-  Serikali YA Mkoa wakusudia kuanzisha mfuko  wa Elimu kwa lengo la kusaidia Vifaa vya Maabara, ununuzi wa vitabu, motisha kwa walimu na wanafunzi wanaofanya vizuri na kuingiza Umeme mashuleni
- Mkuu wa mkoa AELEKEZA  wazazi na walezi kuchangia Chakula mashuleni na kushirikiana na serikali  ktk ujenzi wa hostel
- Aagiza madai YA walimu yashughulikiwe kuanzia ngazi YA halmashauri kwa Yale ambayo yapo NDANI YA uwezo wa halmashauri
- Mkoa umejipangia MALENGO YA kuwa Miongoni mwa mikoa KUMI bora kitaifa 
- Maazimio YA kongamano yatakuwa ndiyo dira YA Elimu kimkoa na yataelekezwa katika ngazi zote




0 comments:

Post a Comment