Thursday, April 27, 2017

Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela ampa masaa diwani wa kata ya Kitwiru, Baraka Kimata (CHADEMA) kuomba radhi mara baada ya kutoa kauli jukwaani wakati akitoa salamu za Mwenge, kuwa wakipewa ridhaa wao wataupumzisha Mwenge huo kwenye makumbusho.

0 comments:

Post a Comment