Monday, April 3, 2017

Baada ya Shamsa Ford kuibiwa akaunti yake ya instagram
“Ikishindikana kabisa akaunti yangu kurudi kwa yule ambaye amenifanyia huo ujinga nitamshtakia Mwenyezi Mungu, mimi ni mtoto wa kiislamu, nitasoma Al-badil ili Mwenyezi Mungu anijibu kwa hili”- Shamsa Ford

0 comments:

Post a Comment