Mkuu wa Mkoa wa Mbeya akagua ujenzi wa meli Tatu katika BANDARI YA Kyela.Meli moja yakamilika kukabidhiwa mwisho wa mwezi huu
- Asema uhusiano wa Tanzania na Malawi ni MZURI kuliko wakati wowote kukamilika kwa meli kutaongeza BIASHARA kati YA Tanzania na Malawi 

- Awaomba wafanyabiashara na makampuni kujiandaa kutumia meli 2 za mizigo na moja YA abiria kwa ajili ya usafiri na usafirishaji wa bidhaa
- Serikali za MIKOA YA Mbeya , Njombe na Ruvuma zaombwa kuboresha Barabara zote zinazoingia ktk bandari

Mkuu wa Mkoa awataka wananchi kuacha kufanya shughuli za kijamii zinazosababisha kuongeza michanga na magogo kwenye eneo la bandari na kupunguza kina cha Maji na kuongeza tope bandarini









0 comments:
Post a Comment