Saturday, April 22, 2017

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na Mabalozi Wanane waTanzania Walioteuliwa hivi karibuni, Ambao Walifika Ofisini kwake Mjini Dodoma 21/April/2017 kumuaga kwa ajili ya kwenda Kuanza Kazi ya kuiwakilisha Tanzania katika nchi walizo pangiwa

0 comments:

Post a Comment