Posted by Williammalecela.com on Saturday, April 22, 2017
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na Mabalozi Wanane waTanzania Walioteuliwa hivi karibuni, Ambao Walifika Ofisini kwake Mjini Dodoma 21/April/2017 kumuaga kwa ajili ya kwenda Kuanza Kazi ya kuiwakilisha Tanzania katika nchi walizo pangiwa
0 comments:
Post a Comment