Posted by Williammalecela.com on Wednesday, May 10, 2017
Msanii kutoka kundi la Jambo Squad la Jijini Arusha, Chalii ya Jambo a.k.a Mtoto wa Bibi, mwishoni mwa juma lililopita aliamua kufunga pingu za maisha na tumekusongezea baadhi ya picha kutoka kwenye sherehe yao.
0 comments:
Post a Comment