Mamlaka za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) imesema taarifa za Waziri wa sheria Profesa Palamagama Kabudi kuwa na vyeti vyenye utata sio sahihi,
imetawataka wale waliohusika kufanya uchunguzi na kuotoa orodha ya majina hayo waulizwe tatizo nini mpaka Mwalimu huyo nguli wa Sheria mwenye heshima kedekede akumbwe na kashfa hiyo.
Pia Makamu Mkuu wa chuo cha UDSM (Taaluma) Prof. Luoga ashangaa na yeye jina lake kutajwa katika orodha ya vyeti feki.
Profesa Kabudi aliwahi kuwa Dean wa Shule ya Sheria pale UDSM, Aidha kwa sasa Profesa Kabudi ni Waziri wa Katiba na Sheria wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
0 comments:
Post a Comment