![]() |
Comments
Teddy Tanna Pumbavu huyu, mchungaji gani huyu? mjaa dhambi tu
Divalina Albert Cku hz watumish halal wa Mungu wa chache bro wengine wananjaa ya hela
Deodatus Tungaraza Huyu mchungaji au mla sadaka za waumini wake.......
Mushi Michael Busara ni kuomba FARAJA ya Mungu,,,,hayo mengine yanaweza kusubiri hasa siasa za kupingana
Reshma George Huyu nae mchungaji?matatizo .
Dory Mungure Taahira huyo huo uchungaji wake sijui aliupata wap
Deo Ndosi Msigwa
hapa kakosea kwakweli ni kuleta siasa kwenye maisha ya watu which is
very wrong kwa wadhifa alionao katika jamii ukiacha siasa uchungaji
sikutarajia yeye kuandika maneno ya namna hiyo yani hawaoni zuri lolote
la Rais analolifanya daah this is sad...
Maria Christian Wakumuombea tu nae mchungaji atakua amepotea
Hassan Nyello II hao cdm wapenda kiki ndo maana alipiga picha na nyanya #nyumbu
|
Monday, May 8, 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)










0 comments:
Post a Comment