Wednesday, May 31, 2017

 Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi (wapilikushoto) akikaribishwa na Mkurugenzi Mtendajiwa Vodacom Tanzania PLC, Ian Ferrao (kulia) kwenye uzinduzi wa kampeni ya Ukarimu wa Vodacom, wakati wa futali iliyoandaliwa na kampuni hiyo katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhan jijini Dar es Salaam jana. Hafla hiyo ilihudhuriwa na Mufti wa Tanzania, Abubakary Zubery.
Huduma mpya yenye lengo la ukarimu, ushirikano utoaji, itamwezesha mteja wa Vodacom Tanzania kunufaika na bando hili la Ukarimu kwa kupiga *149*01# kisha kuchagua aina ya bando kulingana na uwezo wake wa kifedha. Lipo bando linalo dumu kwa muda saa 24 na linalodumu kwa siku saba .
 RaisMstaafu Ali Hassan Mwinyi (kushoto) akizinduakampeniyaUkarimuwa Vodacom  wakatiwafutaliiliyoandaliwaya Vodacom Tanzania PLC  jijni Dar es Salaam janaWanaoangalianiMkurugenziMtendajiwakampunihiyo, Ian Ferrao (katikati) na Mufti wa Tanzania, AbubakaryZubery.Hudumampyayenyelengo la ukarimu, ushirikanautoaji, itamwezeshamtejawa Vodacom Tanzaniakunufaikanabandohili la Ukarimukwakupiga *149*01# kishakuchaguaainayabandokulingananauwezo wake wakifedha. Lipobandolinalodumukwamudasaa 24 nalinalodumukwasikusaba
Mkurugenzi Mkuu wa Biashara wa Vodacom Tanzania PLC, HendiHisham (kulia) akifafanua jambo kwa Mufti wa Tanzania Abubakary Zubery kwenye uzinduzi wa kampeni ya Ukarimuwa Vodacom, wakati wa futali iliyoandaliwa na kampuni hiyo katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhan jijini Dar es Salaam jana.KampenihiyoilizinduliwanaRaisMstaafu Ali Hassan Mwinyi (katikati). WapilikushotoniMkurugenziMtendajiwa Vodacom Tanzania PLC, Ian Ferrao.Hudumampyayenyelengo la ukarimu, ushirikanautoaji, itamwezeshamtejawa Vodacom Tanzaniakunufaikanabandohili la Ukarimukwakupiga *149*01# kishakuchaguaainayabandokulingananauwezo wake wakifedha. Lipobandolinalodumukwamudasaa 24 nalinalodumukwasikusaba

0 comments:

Post a Comment