Rich Mavoko alikiambia kipindi cha Top 20 cha Clouds FM kuwa, ikifika jioni saa 12 inabidi aende studio akafanye kazi hadi saa 12 asubuhi, hicho ndicho kitu pekee kinachmuweka busy kwa sasa.
“Hii itakuwa albam yangu ya kwanza kubwa kufanya, nilishawahi kutengeneza na watu wangu wa mwanzo ila haikufanikiwa kutoka,” alisema Rich Mavoko.
By Peter Akaro
0 comments:
Post a Comment