Thursday, May 4, 2017

No automatic alt text available.
..................TAARIFA KWA UMMA....................... Kampuni ya Cartrack kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Tumekamata magari 5 yaliyoibwa
yakiwa yamefichwa nyumbani kwa John Bangizi huko Mbezi msakuzi ( machimbo) na mtuhumiwa amekiri kuhusika na wizi wa magari hayo.
Kwa wale waliowahi kuibiwa magari yao tafadhali fika kituo cha police Mbezi Luis kwa utambuzi.
Kamanda Simon Siro
Kamishna wa Police Kanda Maalumu
Dar Es Salaam.
Image may contain: 2 people, people standing and outdoor

0 comments:

Post a Comment