Tuesday, May 30, 2017

News Feed

LIVE STRAIGHT TALK:- FACT ...Kazi ya kwanza ya Advocate ni kumtetea yoyote yule hata Muuaji kisheria (Client) lakini Sharti namba moja ni lazima AKIRI
kwa Advocate kwamba anahitaji Msaada wa kisheria kuchomolewa kwenye makosa aliyoyafanya" hii inakubalika Kisheria ndio maana hata Proffesional Ethics katika Law haijazuia Wakili kutetea Muuaji..juzi kwenye ishu ya Mchanga wa Dhahabu katokea Mbunge mmoja wa Upinzani na Mwanasheria anadai eti Tanzania na Rais wetu Magufuli tumekosea sana kwa kutetea madini yetu so tumevunja "ECONOMIC DIPLOMACY"...hahahaha ..alikuwa anafoka kwa lugha ya watu na kusema "They Know Nothing about "Economic Diplomacy"...hahahaha ....Masikini wa Mungu sijui alisoma Shule gani hapa Duniani walikomfundisha Superiority ya ECONOMIC DIPLOMACY" over "NATIONAL INTEREST" na kujifanya yeye anajua sana kuliko Rais na Kamati nzima ya Mchanga wa Dhahabu!....inasikitisha sana when a supposedly Academician anaposhindwa kuelewa FACT ya kuwa NATIONAL INTEREST haina mjadala wala Negotiations na hasa unapogundua ACACIA walikuwa wakitudanganya mchanga una dhahabu tu kumbe kuna aina 10 za Madini tofauti bila sisi as Taifa kujua now leo tumewakamata Red Handed yeye anasema tutangulize Economic Diplomacy I mean ni ujuha usiokuwa na kipimo.... Sheria namba moja ya Economic Diplomacy ni TRUST na kwenye hii ishu tayari ACACIA imetudanganya so no Trust cause hatuwaamini tena ....Wazungu wanasema hivi:- Decisions concerning national interest should always be made on the basis of concrete national advantage rather than on moralistic, legalistic or ideological criteria The primary justification of state action is national interests...
Sera za Mahusiano na Mataifa kwa Mataifa zinakuja baada ya Taifa kutazama Manufaa yake kwanza, Sera hizi zinakuja kulinda tu Manufaa hayo bila Taifa moja kuathiri Manufaa ya Taifa Jingine...eti huyo Mbunge anauliza Dunia inatuonaje? hivi kweli huyu Mbunge ana akili timamu? maana alitakiwa kujiuliza Dunia inatuonaje kuwa na Mkataba wa Madini unaotupa Taifa 4% over 96%? ...yaani Rais kamwagia shimo mafuta kidogo tu yanatokea Majoka ya ajabu hivi hadi huzuni ...VIVA MAGUFULI KANYAGA TWENDE na MUNGU AIBARIKI TANZANIA! - le Mutuz Nation

0 comments:

Post a Comment