Posted by Williammalecela.com on Wednesday, June 14, 2017
Bad story inayomake headline kwenye mitandao mbalimbali tangu mapema leo June 14, 2017 ni kuhusu moto mkubwa uliozuka na kuteketeza jengo refu la Grenfell Tower katika jiji la London, Uingereza ambapo Jeshi la Zimamoto limesema watu wengi walikwama
0 comments:
Post a Comment