Thursday, June 1, 2017

Image may contain: 1 person
Makosa ya kiufundi katika kituo cha Television cha Clouds jana yalipelekea mijadala mizito kwenye mitandao ya kijamii, huku wananchi wengi wakihoji kama huyu mama naye aliingia huko Clouds kwa kuvamia na kuwalazimisha wamrushe kama Mkuu wa Polisi Tanzania.
Martin Saxon Mwambene Nadhani ule mjadala unazidi kuchukua nafasi kubwa baada ya kuwa na IGP wa 3 sasa,😃
Malisa GJ
Malisa GJ 😂😂😂😂😂😂
Bakari Omar
Bakari Omar au huyu Ashura kawavamia na anawalazimisha waandike hivyo Kwa mtutu wa bunduki.?
Malisa GJ
Malisa GJ Vita ya madawa ya kulevya haijawahi kumwacha mtu salama.!
Ibra Ngamange
Ibra Ngamange Hawa washajaza sasa wasubiri na wao wajazwe
Malisa GJ
Malisa GJ Vita ya madawa ya kulevya haijawahi kumwacha mtu salama.!
Benny Mosha
Benny Mosha ni makosa ya kibinadamu kama kusema rais Putin wa libya au zanzibar ni muungano wa pemba na zimbabwe...wapewe maonyo tu ya kuwa waangalifu tu kwenye mitambo.
 

0 comments:

Post a Comment