Mbunge wa Sumbawanga Mjini Aeshi Hilaly alikuwa miongoni mwa Wabunge waliowasilisha mapendekezo yao katika Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2017/18 ambapo aliitaka
Serikali kuacha kupuuzia baadhi ya michango ya watu ambao wanaonekana hawana elimu za juu ili kuwarahisishia kujua changamoto zilizopo mitaani.
Serikali kuacha kupuuzia baadhi ya michango ya watu ambao wanaonekana hawana elimu za juu ili kuwarahisishia kujua changamoto zilizopo mitaani.
0 comments:
Post a Comment