wenye vyeti feki walioondolewa zitazibwa?“Kwanza naomba nimpongeze kwa kuwa amekuwa akifuatilia ajira kwa kuwa amekuwa akifuatilia ustawi wa watumishi lakini pia namna ambavyo amekuwa akifuatilia upungufu huu uliojitokeza katika zoezi la uhakiki wa vyeti feki nipende tu kusema kwamba tumekuwa tukieleza humu ndani tayari kibali cha ajira kimeshatolewa 15,000,” alisema Kairuki.
“Tulikuwa tunafanya mashauriano na ofisi ya Rais Tamisemi, wameshatuletea orodha maana yake tulitakiwa tujue kila kituo ni ninafasi ipi ambayo iko wazi nipende tu kusema katika maeneo yalioathirika sana ni sekta ya elimu na sekta ya afya kwa zaidi ya asilimia 70 na zaidi kidogo.”
0 comments:
Post a Comment