Posted by Williammalecela.com on Saturday, July 08, 2017
KIBITI: Mwanaume 1 aliyejulikana kwa jina la Hamis Ndikanye(54) ameuawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake.
Shuhuda amesema kuwa watu 5 wakiwa na bunduki walifika nyumbani kwa marehemu saa 6 usiku, kisha kufanya mauaji hayo.
CHANZO:JAMIIFORUMS
0 comments:
Post a Comment