Saturday, July 8, 2017

Mh.Paul Makonda akiwa pamoja na Mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi Mh.Raymond Mboya ofisini kwake jijini Dar es salaam jana 06/07/2017. Mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi amekutana na Mh. Paul Makonda kuzungumzia shughuli mbalimbali za kimaendeleo

0 comments:

Post a Comment