Thursday, July 20, 2017

Msanii wa mkongwe wa muziki kutoka Nigeria, Innocent Ujah Idibia a.k.a 2Face ametembelea kambi ya wanajeshi ya nchi hiyo siku ya Jumanne.

2Face ametembela katika kambi ya jeshi hilo lililopo maeneo ya Maiduguri, Borno ambapo pia ametembela katika kambi ya wakimbizi.

0 comments:

Post a Comment