Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria anayeunda kundi la P Square, Paul Okoye amafanikiwa kupata watoto mapacha na mkewe Anita Okoye.
Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram mke wa msanii huyo amepost kuoneshja ujio wa watoto hao wapya katika familia yao.
0 comments:
Post a Comment