Friday, July 21, 2017

Mbunge wa Singida Kaskazini, Mh. Lazaro Nyalandu ameeleza ujio wa wanafunzi majeruhi wa Lucky Vicent waliopelekwa nchini Marekani kwaajili ya matibabu baada ya kupata ajali jijini Arusha. Ambapo ameeleza hali yao kwasasa, ujio wao na jinsi walivyoambiwa wenzao walipoteza maisha. Mbunge wa Singida Kaskazini, Mh. Lazaro Nyalandu ameeleza ujio wa wanafunzi
majeruhi wa Lucky Vicent waliopelekwa nchini Marekani kwaajili ya matibabu baada ya kupata ajali jijini Arusha. Ambapo ameeleza hali yao kwasasa, ujio wao na jinsi walivyoambiwa wenzao walipoteza maisha. Mbunge wa Singida Kaskazini, Mh. Lazaro Nyalandu ameeleza ujio wa wanafunzi majeruhi wa Lucky Vicent waliopelekwa nchini Marekani kwaajili ya matibabu baada ya kupata ajali jijini Arusha. Ambapo ameeleza hali yao kwasasa, ujio wao na jinsi walivyoambiwa wenzao walipoteza maisha.

0 comments:

Post a Comment