Tuesday, August 29, 2017

Image result for nembo ya sheria

Mawakili wanaofanya kazi zao Mkoa wa Dar es Salaam, Leo Jumanne 29/08/2017
*WAMEENDELEA* na kazi zao kama kawaida, *HOJA* yao kubwa wanasema *HAWANA* mkataba wa Kazi na *TUNDU LISSU,* wana mikataba ya kazi na *WATEJA* wao.

Hii ndio Dar es Salaam ya Mawakili Wasomi, na wanaojitambua na kutambua *HESHIMA* ya taalamu zao.
Ikiwaka *MULIKA,* ikizimika *PAPASA.*

Wakili Mtarajiwa
*Jerry C. Muro*
*Ubungo, Maziwa*
*Dar es Salaam.*
*29/08/2017*

0 comments:

Post a Comment