Wednesday, August 23, 2017


 Image result for tundu lissu images under police
Polisi wameenda kupekua nyumbani kwa Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu , wakiongozana na mwanasheria huyo.


Tundu Lissu alikamatwa na Polisi akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na anakabiliwa na tuhuma za Uchochezi na Kumkashifu Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.


Source:- JF

0 comments:

Post a Comment