Posted by Williammalecela.com on Wednesday, August 23, 2017
Polisi wameenda kupekua nyumbani kwa Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu , wakiongozana na mwanasheria huyo.
Tundu Lissu alikamatwa na Polisi akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi
Kisutu na anakabiliwa na tuhuma za Uchochezi na Kumkashifu Rais wa
Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Source:- JF
0 comments:
Post a Comment