Posted by Williammalecela.com on Friday, August 18, 2017
 |
| Mamlaka
ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetangaza kusudio la kufuta leseni ya
Kampuni ya Mycell Commucation, inayomilikiwa na mfanyabiashara maarufu
nchini, Yussuf Manji chini ya Quality Group Limited (QGL) kwa kudaiwa
imeshindwa kukiuka masharti ya leseni kinyume na kifungu 21 (a) na (b)
cha Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (Epoca) ya mwaka
2010. Kampuni hiyo inadaiwa kuonywa mara kwa mara kutokana na kikiuka
masharti ya leseni bila kujirekebisha, na hivyo TCRA inakusudia
kuifutilia mbali muda wowote kuanzia sasa. |
0 comments:
Post a Comment