Posted by Williammalecela.com on Friday, August 04, 2017
 |
=> Polisi wamefika Nyumbani kwa Mbunge wa Tarime Vijijini John Heche,
sasa Hivi wa naomba kuchukua simu zake zote na wanamueleze Kuwa
anatuhumiwa kwa kuchochea wananchi kuvamia Mgodi na yupo chini ya
Ulinzi. Kosa la Pili analotuhumiwa nalo ni Kuhamasisha Kilimo cha bangi.
Alipokuwa kwenye Mkutano wa hadhara Silali, aliwaambia wananchi kwamba
atapeleka Hoja binafsi bungeni ili bangi iwe zao la Biashara.
=> Polisi Wamechukua simu moja na Ipad ila kakataa kuwapa Password.
=> Vilevile Polisi Wamemtaka Esther Matiko Mbunge wa CHADEMA Tarime
Mjini, Kujisalimisha Polisi aunganishwe kwenye kesi ya Heche kwani na
yeye alikuwepo kwenye Mkutano wa Silali. | | |
0 comments:
Post a Comment