Posted by Williammalecela.com on Thursday, August 31, 2017
 |
IKULU,
DAR: Rais John Pombe Magufuli leo amekutana na viongozi Wastaafu wa
vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwemo Mkurugenzi wa zamani wa Usalama wa
Taifa(TISS), Bwana Cornel Apson.
- Lengo la kuwaita viongozi hao wa zamani ni kuweza kushirikiana na waliopo sasa katika kutekeleza majukumu yao..
|
0 comments:
Post a Comment