Wednesday, August 23, 2017

Image may contain: one or more people, ocean, outdoor, water and nature
Habari ya Kusikitisha Sana.
Mgombea Ubunge wa ODM Lamu Mashariki katika Uchaguzi uliofanyika hivi karibuni Nchini Kenya Shakue Kahale Mwanati
Akielezea jinsi alivyoshuhudia Familia Yake Wakifa Mmoja Baada ya Mwingine baada ya Boti yao Kuzama.
Aliogelea kwa Masaa Manane ili kuikoa Familia yake ya Watu Tisa waliokufa Maji, Watoto wake Saba Mke na Dada wa Mke wake,Alijishikilia kwenya Kamba yeye na Watoto wake kwa Masaa Sita ikawa wanachukuliwa mmoja baada ya Mwingine na Upepo Mkali na Mawimbi Mazito mpaka wakaisha wote kwa kuchoka kushikilia kamba.

0 comments:

Post a Comment